a
Flp 4:11
;
Ebr 13:5
;
1Tim 4:8
b
Ay 1:21
;
Za 49:17
c
Mit 30:8
;
Ebr 13:5
1 Timothy 6:6-8
6
a
Lakini utauwa na kuridhika ni faida kubwa.
7
b
Kwa kuwa hatukuja humu duniani na kitu chochote, wala hatuwezi kutoka humu na kitu.
8
c
Lakini kama tuna chakula na mavazi, tutaridhika navyo.
Copyright information for
SwhNEN